Sumu Ya Penzi chords

View
Instr.
Trans. 0
Scroll
Metro.
Font
 
[INTRO]
[Cm] , [Fm] , [D#] , [A#] (also throughout the song)

Ohhh Ohhh, yeahh ehhh
yeahh

[VERSE 1]
[Cm] Penzi ni [Fm]kitu ambacho [D#]kinaweza kukupa f[A#]uraha maishani mwako
[Cm] Vilevile [Fm]penzi linaweza [D#]kukupa huzuni m[A#]ilele moyoni mwako
[Cm] Ukashindwa [Fm]kuelewani na [D#]ndugu, rafiki h[A#]ata na wazazi wako
[Cm] Utakosa [Fm]raha ya maisha, [D#]hata kama una [A#]pesa
[Cm] Vitalala [Fm]viungo vyako, [D#]kimawazo u[A#]takesha
[Cm] Utakosa [Fm]raha ya maisha, [D#]hata kama una [A#]pesa
[Cm] Vitalala [Fm]viungo vyako, [D#]kimawazo u[A#]takesha

[CHORUS]
[Cm] Sumu ya penzi [Fm]ukishailamba
[D#] Hata kwa maziwa [A#]huwezi kupona
[Cm] Sumu ya penzi [Fm]ukishailamba
[D#] Hata kwa maziwa [A#]huwezi kupona
[Cm] Sio kwamba [Fm]mi nakukataa
[D#] Ila moyo [A#]wangu unasita (moyo unasita)
[Cm] Wazazi wangu [Fm]watanishangaa
[D#] Nyumbani wewe [A#]ulishatoroka (ulishatoroka)
[Cm] Sio kwamba [Fm]mi nakukataa
[D#] Ila moyo [A#]wangu unasita
[Cm] Wazazi wangu [Fm]watanishangaa
[D#] Nyumbani wewe [A#]ulishatoroka

[VERSE 2]
[Cm] Ulinimwaga [Fm]kama mchele, [D#]kuku wanidono[A#]e (mimi)
[Cm] Ukanifunga [Fm]mpaka kitanzi, [D#]nani anioko[A#]e (porini)
[Cm] Ulinimwaga [Fm]kama mchele, [D#]kuku wanidono[A#]e (mimi)
[Cm] Ukanifunga [Fm]mpaka kitanzi, [D#]nani anioko[A#]e (porini)
[Cm] Laiti ningejua kuna [Fm]dawa ya mapenzi
[D#] Ningejifunga n[A#]isipende
[Cm] Maana mapenzi kwangu [Fm]yamekuwa shubiri
[D#] Kwa wenzagu mit[A#]ende
[Cm] Laiti ningejua kuna [Fm]dawa ya mapenzi
[D#] Ningejifunga n[A#]isipende
[Cm] Maana mapenzi kwangu [Fm]yamekuwa shubiri
[D#] Kwa wenzagu mite[A#]nde (yeahh)

[CHORUS]

[BRIDGE]
[Cm] Mi sihitaji m[Fm]apenzi na wee
[D#] Mi sitaki m[A#]apenzi na wee
[Cm] Ohh baby na[Fm]omba unielewe
[D#] Mi sitaki m[A#]apenzi (sihitaji) na wee
[Cm] Nachoweza k[Fm]usema, s[D#]ihitaji m[A#]apenzi na wee
[Cm] Nachoweza k[Fm]usema, s[D#]ihitaji m[A#]apenzi na wee
[Cm] Nachoweza k[Fm]usema, s[D#]ihitaji m[A#]apenzi na wee
[Cm] Mape[Fm]nzi na w[D#]ee (ihh[A#]h ihhh)

[Cm] Sio kwamba [Fm]mi nakukataa (mi nakukataa)
[D#] Ila moyo [A#]wangu unasita (moyo unasita)
[Cm] Wazazi wangu [Fm]watanishanga (watanishanga)
[D#] Nyumbani wewe [A#]ulishatoroka (ulishatoroka)
[Cm] Sio kwamba [Fm]mi nakukataa (ohh ohh)
[D#] Ila moyo [A#]wangu unasita (ohh ohh)
[Cm] Wazazi wangu [Fm]watanishangaa (ohh ohh)
[D#] Nyumbani wewe [A#]ulishatoroka (ohh ohh)

[OUTRO]
[Cm] Sio kwamba [Fm]mi nakukat[D#]aa a[A#]ahh (mimi)
[Cm] Wazazi wangu [Fm]watanishan[D#]ga a[A#]ahh (mimi)
[Cm] Sio kwamba [Fm]mi nakukata[D#]a ah[A#]hh (ihhh ihh)
[Cm] Wazazi wangu [Fm]watanishan[D#]ga a[A#]hhh (yeahh)

[C#] , [Fm]

[D#] Belle 9,[A#] rocka Tz records

[C#] , [Fm]

[D#] Niko n[A#]a Triss
Used chords
Most viewed chords today
Most viewed chords this week
Most viewed sheets this week